Wanamichezo Marekani wavutana na rais wao kuhusu wimbo wa taifa
Baltimore Ravens |
Timu ya Jacksonville Jaguars ya marekani |
Shahid Khan kiongozi wa Timu ya JacksonVille Jaguars aliungana na wachezaji kupinga yanayofanywa na Rais Trump.Trump ameandika ujumbe kwenye mtandao wa kijamii kulaani walichokifanya wachezaji kukaidi kuheshimu wimbo wa taifa.
Alichokiandika Rais Trump katika mtandao wa kijamii |
Post a Comment