Wanamichezo Marekani wavutana na rais wao kuhusu wimbo wa taifa

Baltimore Ravens
Baltimore Ravens
Wachezaji wa Timu za Baltimore Ravens na Jacksonville Jaguars za marekani wameonyesha kutofurahia utofauti uliopo kati ya Rais Dolnald Trump na wanamichezo,kwa kushindwa kuheshimu wimbo wa taifa wa marekani ukipigwa katika uwanja wa Wimbley ikiwa ni inshara ya kuonyesha Umoja wa kumpinga Trump dhidi ya wanamichezo.
Marekani
Timu ya Jacksonville Jaguars ya marekani
Shahid Khan kiongozi wa Timu ya JacksonVille Jaguars aliungana na wachezaji kupinga yanayofanywa na Rais Trump.Trump ameandika ujumbe kwenye mtandao wa kijamii kulaani walichokifanya wachezaji kukaidi kuheshimu wimbo wa taifa.
twitter
Alichokiandika Rais Trump katika mtandao wa kijamii

SOMA ZAIDI