moto mkubwa uliozuka msituni Canada
Moto huo umesababisha kusambaa kwa moshi mzito ambao ni hatari kwa afya ya binaadamu |
Takriban wazimamoto elfu mbili wanapambana na moto huo uliozuka mwishoni mwa juma huku vikosi zaidi vikiongezwa.
Kwa miaka ya hivi karibuni Canada imekuwa ikikumbwa na majanga makubwa ya moto |
Ndege za kuzimia moto pia zimetumwa kutoka mji wa jirani wa Saskatchewan.
Siku ya Jumamosi jimbo la British Columbia lilitangaza hali ya hatari kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha miaka 14 kutokana na moto huo.
Post a Comment